Kutoka 29:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Watakula vitu vyenye vilitumiwa ili kufunika zambi wakati waliwekwa kuwa makuhani na wakati walitakaswa. Lakini mutu mwenye haruhusiwe* hapaswe kula vitu hivyo, kwa maana ni vitu vitakatifu.+
33 Watakula vitu vyenye vilitumiwa ili kufunika zambi wakati waliwekwa kuwa makuhani na wakati walitakaswa. Lakini mutu mwenye haruhusiwe* hapaswe kula vitu hivyo, kwa maana ni vitu vitakatifu.+