-
Mambo ya Walawi 5:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 “Kama mutu anajiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova,+ atamuletea Yehova kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi ili akuwe toleo la hatia;+ samani yake itapimwa kwa shekeli* za feza kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ 16 Na atalipia zambi yenye ametendea mahali patakatifu, na pia ataongeza sehemu moja ya tano (1/5) ya samani ya vitu hivyo.+ Atamupatia kuhani, ili kuhani afunike zambi+ kwa ajili yake kupitia ule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+
-