Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 “Kama mutu anajiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova,+ atamuletea Yehova kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi ili akuwe toleo la hatia;+ samani yake itapimwa kwa shekeli* za feza kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ 16 Na atalipia zambi yenye ametendea mahali patakatifu, na pia ataongeza sehemu moja ya tano (1/5) ya samani ya vitu hivyo.+ Atamupatia kuhani, ili kuhani afunike zambi+ kwa ajili yake kupitia ule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine