-
Mambo ya Walawi 7:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kama anaitoa ili kuonyesha shukrani,+ atatoa zabihu hiyo ya shukrani pamoja na mikate ya muviringo yenye haina chachu yenye imechanganywa na mafuta, mikate myembamba yenye haina chachu yenye imepakwa mafuta, na mikate ya muviringo yenye imetengenezwa na unga muzuri, wenye umechanganywa muzuri kabisa na kutiwa mafuta.
-