Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 28:26-31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 “‘Siku ya matunda ya kwanza yenye kukomaa,+ wakati munamutolea Yehova toleo la nafaka mupya,+ mutafanya mukusanyiko mutakatifu katika sikukuu yenu ya majuma.+ Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.+ 27 Mutatoa kuwa toleo la kuteketezwa kwa ajili ya harufu ya kumupendeza* Yehova: ngombe-dume wawili wadogo, kondoo-dume mumoja, na wana-kondoo dume saba (7) kila mumoja wa mwaka mumoja,+ 28 na toleo lao la nafaka la unga muzuri wenye kuchanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi (3/10) kwa ajili ya kila ngombe-dume, na sehemu mbili za kumi (2/10) kwa ajili ya ule kondoo-dume mumoja, 29 sehemu moja ya kumi (1/10) kwa ajili ya kila mwana-kondoo dume kati ya wale wana-kondoo dume saba (7), 30 na pia mwana-mbuzi mumoja ili kufunika zambi kwa ajili yenu.+ 31 Mutatoa vitu hivyo zaidi ya toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida na toleo lake la nafaka. Watakuwa wanyama wenye hawana kasoro,+ pamoja na matoleo yao ya kinywaji.

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “Mara tatu (3) kwa mwaka, wanaume wako wote wataonekana mbele ya Yehova Mungu wako mahali kwenye atachagua: kwenye Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu,+ Sikukuu ya Majuma,+ na Sikukuu ya Vibanda,*+ na mutu yeyote katikati yao asionekane mbele ya Yehova mikono wazi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine