Mambo ya Walawi 6:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Moto utaendelea kuwaka juu ya mazabahu. Haupaswe kuzimika. Kila asubui kuhani atateketeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga toleo la kuteketezwa juu yake, na atachoma mafuta ya zabihu za ushirika ili yatoe moshi juu ya moto huo.+
12 Moto utaendelea kuwaka juu ya mazabahu. Haupaswe kuzimika. Kila asubui kuhani atateketeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga toleo la kuteketezwa juu yake, na atachoma mafuta ya zabihu za ushirika ili yatoe moshi juu ya moto huo.+