Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:20, 21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Kisha Noa akamujengea Yehova mazabahu+ na akakamata wamoja kati ya wanyama wote wenye kuwa safi na wamoja kati ya viumbe vyote vyenye kuruka vyenye kuwa safi+ na akatoa matoleo ya kuteketezwa juu ya ile mazabahu.+ 21 Na Yehova akaanza kusikia harufu ya muzuri.* Kwa hiyo Yehova akasema katika moyo wake: “Sitalaani tena* inchi+ hata kidogo kwa sababu ya mwanadamu, kwa maana muelekeo wa moyo wa mwanadamu ni mubaya kuanzia ujana wake;+ na mimi sitapiga na kuua tena kila kitu chenye uzima kama vile nimefanya.+

  • Hesabu 15:2, 3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Wakati mutaingia mwishowe katika inchi yenye ninawapatia muishi ndani yake,+ 3 na kumutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto kutoka katika mifugo ao kutoka katika kundi⁠—​ikuwe toleo la kuteketezwa+ ao zabihu ya kutimiza naziri ya pekee ao toleo la kujipendea+ ao toleo lenye linatolewa wakati wa sikukuu zenu za vipindi,+ ili kumutolea Yehova harufu ya kumupendeza*+⁠—

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine