-
Kutoka 29:38Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 “Hivi ndivyo vitu vyenye utatoa kwenye mazabahu: wana-kondoo dume wawili wenye kuwa na mwaka mumoja kila siku, kwa kuendelea.+
-
-
Mambo ya Walawi 6:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 “Amuru Haruni na wana wake na kusema, ‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la kuteketezwa:+ Toleo la kuteketezwa litabakia kwenye moto juu ya mazabahu usiku wote mupaka asubui, na moto utaendelea kuwashwa kwenye mazabahu ili usizimike.
-
-
Ezekieli 46:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Wanapaswa kuleta mwana-kondoo dume, toleo la nafaka, na mafuta kila asubui kuwa toleo nzima la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida.’
-