Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 “Hivi ndivyo vitu vyenye utatoa kwenye mazabahu: wana-kondoo dume wawili wenye kuwa na mwaka mumoja kila siku, kwa kuendelea.+

  • Kutoka 29:42
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Litakuwa toleo la kuteketezwa lenye litatolewa kwa ukawaida katika vizazi vyenu vyote kwenye muingilio wa hema ya mukutano mbele ya Yehova, mahali kwenye nitawatokea ili kuzungumuza na ninyi pale.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Sasa ninajenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, ili kuitakasa kwake, ili kuchoma uvumba wenye marashi mbele yake,+ na pia kwa ajili ya mikate ya kila wakati yenye kupangwa moja juu ya ingine*+ na matoleo ya kuteketezwa, asubui na mangaribi,+ katika siku za Sabato,+ katika miezi mipya,+ na kwenye vipindi vya sikukuu+ za Yehova Mungu wetu. Hili ni jambo lenye Israeli wanapaswa kuendelea kufanya.

  • Ezra 3:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kwa hiyo wakajenga mazabahu mahali ilikuwa zamani, hata kama waliogopa vikundi vya watu vya inchi zenye kuwazunguka,+ na wakaanza kumutolea Yehova zabihu za kuteketezwa juu yake, zabihu za kuteketezwa za asubui na za mangaribi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine