-
Kutoka 29:38Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 “Hivi ndivyo vitu vyenye utatoa kwenye mazabahu: wana-kondoo dume wawili wenye kuwa na mwaka mumoja kila siku, kwa kuendelea.+
-
-
Kutoka 29:42Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
42 Litakuwa toleo la kuteketezwa lenye litatolewa kwa ukawaida katika vizazi vyenu vyote kwenye muingilio wa hema ya mukutano mbele ya Yehova, mahali kwenye nitawatokea ili kuzungumuza na ninyi pale.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 2:4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Sasa ninajenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, ili kuitakasa kwake, ili kuchoma uvumba wenye marashi mbele yake,+ na pia kwa ajili ya mikate ya kila wakati yenye kupangwa moja juu ya ingine*+ na matoleo ya kuteketezwa, asubui na mangaribi,+ katika siku za Sabato,+ katika miezi mipya,+ na kwenye vipindi vya sikukuu+ za Yehova Mungu wetu. Hili ni jambo lenye Israeli wanapaswa kuendelea kufanya.
-