-
Hesabu 15:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Ao kwa ajili ya kondoo-dume, mutatoa toleo la nafaka la sehemu mbili za kumi (2/10) za kipimo cha efa ya unga muzuri wenye kuchanganywa na sehemu moja ya tatu (1/3) ya hini ya mafuta. 7 Na munapaswa kutoa divai ili kuwa toleo la kinywaji, sehemu moja ya tatu (1/3) ya hini, kuwa harufu ya kumupendeza* Yehova.
-