-
Mambo ya Walawi 22:20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Hamupaswe kutoa kitu chochote chenye kasoro,+ kwa sababu hakitafanya mukubaliwe.
-
-
Mambo ya Walawi 22:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Munyama yeyote wa toleo hapaswe kuwa kipofu, mwenye kuvunjika, mwenye mukato, mwenye kivimba, mwenye vigaga,* ao mwenye imba; hamupaswe kumutolea Yehova munyama yeyote katikati ya wanyama hao ao kumutolea Yehova toleo la namna hiyo kwenye mazabahu.
-