-
Mambo ya Walawi 23:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Lakini kwa siku saba (7) mutamutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Kutakuwa mukusanyiko mutakatifu siku ya saba. Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.’”
-
-
Kumbukumbu la Torati 16:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kwa siku sita (6) utakula mikate yenye haina chachu, na siku ya saba (7) kutakuwa mukusanyiko mukubwa kwa ajili ya Yehova Mungu wako. Haupaswe kufanya kazi yoyote.+
-