Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Siku ya kwanza mutafanya mukusanyiko mutakatifu, na siku ya saba (7) mutafanya mukusanyiko mwingine mutakatifu. Hakuna kazi yenye inapaswa kufanywa siku hizo.+ Isipokuwa tu kile chenye kila mutu* iko* na lazima ya kula, ni kile tu kinaweza kutayarishwa kwa ajili yenu.

  • Mambo ya Walawi 23:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini kwa siku saba (7) mutamutolea Yehova toleo lenye linatolewa kwa njia ya moto. Kutakuwa mukusanyiko mutakatifu siku ya saba. Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.’”

  • Kumbukumbu la Torati 16:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa siku sita (6) utakula mikate yenye haina chachu, na siku ya saba (7) kutakuwa mukusanyiko mukubwa kwa ajili ya Yehova Mungu wako. Haupaswe kufanya kazi yoyote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine