- 
	                        
            
            Hesabu 26:55Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        55 Lakini, inchi itagawanywa kwa kura.+ Watu watapokea uriti wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao. 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Hesabu 33:54Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        54 Munapaswa kugawanya inchi hiyo kwa kura+ ili kuwa uriti kati ya familia zenu. Kwa kikundi kikubwa mutaongeza uriti wake, na kwa kikundi kidogo mutapunguza uriti wake.+ Uriti wa kila mutu utakuwa mahali kwenye kura yake itaangukia. Mutapokea uriti wenu wa inchi kulingana na makabila ya baba zenu.+ 
 
-