- 
	                        
            
            Kutoka 25:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        22 Nitakutokea pale na nitazungumuza na wewe kutoka juu ya kifuniko hicho.+ Kutoka katikati ya hao makerubi wawili wenye kuwa juu ya sanduku la Ushuhuda, nitakujulisha amri zote zenye nitapatia Waisraeli. 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Kutoka 30:36Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        36 Utaponda sehemu fulani ya vitu hivyo ili vikuwe unga laini na kutia sehemu fulani ya unga huo mbele ya Ushuhuda katika hema ya mukutano, mahali kwenye nitakutokea. Vitu hivyo vinapaswa kuwa vitakatifu sana kwenu. 
 
-