20 Kisha Miriamu nabii mwanamuke, dada ya Haruni, akakamata ngoma ya kidogo* katika mukono wake, na wanamuke wote wakamufuata wakiwa na ngoma za kidogo* na walikuwa wanacheza dansi.
59 Na jina la bibi ya Amramu lilikuwa Yokebedi,+ binti ya Lawi; mwenye bibi ya Lawi alimuzalia katika inchi ya Misri. Na alimuzalia Amramu: Haruni na Musa na Miriamu dada yao.+