Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Wakamuambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi katika Misri ndiyo sababu umetuleta hapa ili tukufe katika jangwa?+ Ni jambo gani hili umetutendea kwa kututosha Misri?

  • Kutoka 17:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Lakini pale watu walikuwa na kiu sana ya maji, na wakaendelea kumunungunikia Musa+ na kusema: “Sababu gani umetutosha Misri ili kutuua na kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”

  • Hesabu 16:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Je, ni jambo la kidogo sana kwamba umetutosha katika inchi yenye kutiririka maziwa na asali ili utuue katika jangwa?+ Sasa, je, unataka pia kujifanya mutawala mwenye mamlaka yote juu yetu?* 14 Na tena, haujatuleta katika inchi yoyote yenye kutiririka maziwa na asali+ wala kutupatia uriti wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Je, unataka kutoboa macho ya watu hawa? Sisi hatutakuja!”

  • Hesabu 21:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Na watu wakaendelea kusema mubaya juu ya Mungu na juu ya Musa,+ na kusema: “Sababu gani mumetupandisha kutoka Misri ili tukufie katika jangwa? Hakuna chakula na maji,+ na sisi tumechukia* mukate huu wenye kuzaraulika.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine