-
Kutoka 14:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Wakamuambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi katika Misri ndiyo sababu umetuleta hapa ili tukufe katika jangwa?+ Ni jambo gani hili umetutendea kwa kututosha Misri?
-
-
Kutoka 17:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Lakini pale watu walikuwa na kiu sana ya maji, na wakaendelea kumunungunikia Musa+ na kusema: “Sababu gani umetutosha Misri ili kutuua na kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”
-
-
Hesabu 16:13, 14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Je, ni jambo la kidogo sana kwamba umetutosha katika inchi yenye kutiririka maziwa na asali ili utuue katika jangwa?+ Sasa, je, unataka pia kujifanya mutawala mwenye mamlaka yote juu yetu?* 14 Na tena, haujatuleta katika inchi yoyote yenye kutiririka maziwa na asali+ wala kutupatia uriti wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Je, unataka kutoboa macho ya watu hawa? Sisi hatutakuja!”
-