17 Kisha Israeli wakatuma wajumbe kwa mufalme wa Edomu,+ na kusema: “Tafazali uturuhusu tupite katika inchi yako,” lakini mufalme wa Edomu hakusikiliza. Pia wakatuma ujumbe kwa mufalme wa Moabu,+ lakini hakukubali. Basi Israeli wakaendelea kukaa Kadeshi.+