Mwanzo 36:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Kwa hiyo Esau akaanza kuishi katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Na uamuru watu hivi: “Mutapita karibu na mupaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wenye wanakaa Seiri,+ na watawaogopa ninyi,+ na munapaswa kuwa waangalifu sana. Kumbukumbu la Torati 23:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 “Haupaswe kumuchukia Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yako.+ “Haupaswe kumuchukia Mumisri, kwa sababu ulikuwa mukaaji mugeni katika inchi yake.+
4 Na uamuru watu hivi: “Mutapita karibu na mupaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wenye wanakaa Seiri,+ na watawaogopa ninyi,+ na munapaswa kuwa waangalifu sana.
7 “Haupaswe kumuchukia Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yako.+ “Haupaswe kumuchukia Mumisri, kwa sababu ulikuwa mukaaji mugeni katika inchi yake.+