-
Hesabu 21:21, 22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Sasa Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni, mufalme wa Waamori, ili wamuambie:+ 22 “Uturuhusu tupite katika inchi yako. Hatutageuka na kuingia katika shamba ao shamba la mizabibu. Hatutakunywa maji ya kisima chochote. Tutatembea katika Barabara ya Mufalme mupaka wakati tutakuwa tumepita katika eneo lako.”+
-