-
Hesabu 16:39, 40Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
39 Kwa hiyo Eleazari kuhani akakamata vyetezo vya shaba vyenye vililetwa na wale wenye walikuwa wameteketezwa kwa moto, na akavipiga-piga ili vifunike mazabahu, 40 kama vile Yehova alikuwa amemuambia kupitia Musa. Hilo lilikumbusha Waisraeli kwamba mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye haiko muzao wa Haruni hapaswe kukaribia ili kuchoma uvumba mbele ya Yehova+ na kwamba mutu yeyote hapaswe kuwa kama Kora na wale wenye walimuunga mukono.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 26:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Hata hivyo, wakati tu alikuwa na nguvu, moyo wake ukakuwa na majivuno na kufikia kuleta uharibifu wake mwenyewe, na alitenda kwa kukosa uaminifu kumuelekea Yehova Mungu wake kwa kuingia katika hekalu la Yehova ili kuchoma uvumba kwenye mazabahu ya uvumba.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 26:18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Wakapambana na Mufalme Uzia na kumuambia: “Haiko kazi yako, Uzia, kumuchomea Yehova uvumba!+ Ni makuhani tu ndio wanapaswa kuchoma uvumba, kwa maana wao ni wazao wa Haruni,+ wenye wametakaswa. Toka patakatifu, kwa maana umetenda kwa kukosa uaminifu na hautapokea utukufu wowote kutoka kwa Yehova Mungu kwa sababu ya jambo hili.”
-