Isaya 45:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Sikusema katika mahali kwenye kufichwa,+ katika inchi yenye giza;Sikuambia uzao wa* Yakobo,‘Munitafute tu bila sababu.’* Mimi ni Yehova, mwenye kusema mambo ya haki na kutangaza mambo ya unyoofu.+
19 Sikusema katika mahali kwenye kufichwa,+ katika inchi yenye giza;Sikuambia uzao wa* Yakobo,‘Munitafute tu bila sababu.’* Mimi ni Yehova, mwenye kusema mambo ya haki na kutangaza mambo ya unyoofu.+