Mwanzo 11:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Ndiyo sababu muji huo uliitwa Babeli,*+ kwa sababu ni kule Yehova alivuruga luga ya dunia yote, na Yehova aliwasambaza kutoka mahali pale juu ya uso wote wa dunia.
9 Ndiyo sababu muji huo uliitwa Babeli,*+ kwa sababu ni kule Yehova alivuruga luga ya dunia yote, na Yehova aliwasambaza kutoka mahali pale juu ya uso wote wa dunia.