-
Yeremia 2:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Hawakuuliza, ‘Yehova iko* wapi,
Yeye mwenye alitutosha katika inchi ya Misri,+
Mwenye alituongoza kupitia jangwa,
Kupitia inchi yenye majangwa+ na mashimo,
Kupitia inchi yenye ukame+ na yenye kivuli kizito,
Kupitia inchi yenye hakuna mutu mwenye anasafiri ndani
Na yenye hakuna wanadamu wenye wanaishi ndani?’
-