Zaburi 96:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu yenye haina mafaa yoyote,+Lakini Yehova ndiye alifanya mbingu.+ 1 Wakorinto 10:21, 22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Hamuwezi kuwa munakunywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha pepo wachafu; hamuwezi kuwa munashiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya pepo wachafu. 22 Ao ‘je, tunamuchochea Yehova* akuwe na wivu’?+ Hatuna nguvu kuliko yeye, haiko vile?
5 Miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu yenye haina mafaa yoyote,+Lakini Yehova ndiye alifanya mbingu.+
21 Hamuwezi kuwa munakunywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha pepo wachafu; hamuwezi kuwa munashiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya pepo wachafu. 22 Ao ‘je, tunamuchochea Yehova* akuwe na wivu’?+ Hatuna nguvu kuliko yeye, haiko vile?