-
Matayo 13:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa maana moyo wa watu hawa umekuwa mugumu, na kwa masikio yao wamesikia bila kuitikia, na wamefunga macho yao, ili wasione hata kidogo kwa macho yao na wasisikie kwa masikio yao na wasielewe maana kwa mioyo yao na kugeuka na mimi niwaponyeshe.’+
-