Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kila wakati wenye Yehova aliwainulia waamuzi,+ Yehova alikuwa pamoja na muamuzi huyo na alikuwa anawaokoa katika mukono wa maadui wao siku zote za muamuzi huyo; kwa maana Yehova aliwasikilia huruma*+ kwa sababu ya kilio chao cha maumivu chenye kilitokezwa na wale wenye waliwakandamiza+ na wale wenye walikuwa wanawatendea mubaya.

  • Zaburi 90:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Rudia, Ee Yehova!+ Hilo litaendelea mupaka wakati gani?+

      Sikilia huruma watumishi wako.+

  • Zaburi 106:45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 45 Kwa ajili yao alikuwa anakumbuka agano lake,

      Na alikuwa anasikia huruma,* akichochewa na upendo wake mwingi mushikamanifu.+

  • Zaburi 135:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kwa maana Yehova atatetea* watu wake,+

      Na atasikilia huruma* watumishi wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine