-
Waamuzi 2:18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Kila wakati wenye Yehova aliwainulia waamuzi,+ Yehova alikuwa pamoja na muamuzi huyo na alikuwa anawaokoa katika mukono wa maadui wao siku zote za muamuzi huyo; kwa maana Yehova aliwasikilia huruma*+ kwa sababu ya kilio chao cha maumivu chenye kilitokezwa na wale wenye waliwakandamiza+ na wale wenye walikuwa wanawatendea mubaya.
-