-
1 Wakorinto 10:20, 21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
20 Hapana; lakini ninasema kwamba vitu vyenye mataifa wanatoa zabihu, wanavitoa zabihu kwa pepo wachafu na hapana kwa Mungu;+ na sitaki ninyi mukuwe washiriki pamoja na pepo wachafu.+ 21 Hamuwezi kuwa munakunywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha pepo wachafu; hamuwezi kuwa munashiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya pepo wachafu.
-