-
Hesabu 12:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Na Musa akaanza kumulilia Yehova, na kusema: “Ee Mungu, tafazali umuponyeshe! Tafazali!”+
-
-
Yeremia 17:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Uniponyeshe, Ee Yehova, na nitapona.
Uniokoe, na nitaokoka,+
Kwa maana wewe ndiye ninasifu.
-