-
Ufunuo 10:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Malaika mwenye niliona amesimama juu ya bahari na juu ya dunia akainua mukono wake wa kuume kuelekea mbinguni, 6 na akaapa kwa Ule mwenye anaishi milele na milele,+ mwenye aliumba mbingu na vitu vyenye kuwa ndani yake na dunia na vitu vyenye kuwa ndani na bahari na vitu vyenye kuwa ndani:+ “Hakutakuwa tena kukawia.
-