22 Kwa hiyo Musa akaandika wimbo huu siku hiyo na kuufundisha Waisraeli.
23 Kisha akamuweka Yoshua+ mwana wa Nuni katika madaraka yake na kusema: “Ukuwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu ni wewe utaingiza Waisraeli katika inchi yenye nimewaapia,+ na nitaendelea kuwa pamoja na wewe.”