Mambo ya Walawi 22:32 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Hamupaswe kuchafua jina langu takatifu,+ na ninapaswa kutakaswa katikati ya Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, mwenye kuwatakasa,+ Isaya 8:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye munapaswa kuona kuwa mutakatifu,+Ndiye munapaswa kuogopa,Na Yeye ndiye anapaswa kuwatetemesha ninyi.”+
32 Hamupaswe kuchafua jina langu takatifu,+ na ninapaswa kutakaswa katikati ya Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, mwenye kuwatakasa,+
13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye munapaswa kuona kuwa mutakatifu,+Ndiye munapaswa kuogopa,Na Yeye ndiye anapaswa kuwatetemesha ninyi.”+