Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Yehova alikuwa anazungumuza na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anazungumuza na mwanadamu mwingine. Wakati Musa alirudia katika kambi, Yoshua+ mwana wa Nuni, mwenye alikuwa muhudumu na mutumishi wake,+ hakukuwa anatoka katika hema.

  • Hesabu 12:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Ninazungumuzaka naye uso kwa uso,*+ waziwazi, hapana kwa vitendawili; na anaonaka umbo ya Yehova. Sababu gani, basi, hamukuogopa kusema mubaya juu ya mutumishi wangu, juu ya Musa?”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine