11 Yehova alikuwa anazungumuza na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anazungumuza na mwanadamu mwingine. Wakati Musa alirudia katika kambi, Yoshua+ mwana wa Nuni, mwenye alikuwa muhudumu na mutumishi wake,+ hakukuwa anatoka katika hema.
8 Ninazungumuzaka naye uso kwa uso,*+ waziwazi, hapana kwa vitendawili; na anaonaka umbo ya Yehova. Sababu gani, basi, hamukuogopa kusema mubaya juu ya mutumishi wangu, juu ya Musa?”