Kumbukumbu la Torati 20:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 “Kama unaenda kupigana vita na maadui wako na unaona kwamba farasi zao na magari yao na wanajeshi wao ni wengi kuliko wako, usiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wako mwenye alikutosha katika inchi ya Misri iko* pamoja na wewe.+
20 “Kama unaenda kupigana vita na maadui wako na unaona kwamba farasi zao na magari yao na wanajeshi wao ni wengi kuliko wako, usiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wako mwenye alikutosha katika inchi ya Misri iko* pamoja na wewe.+