-
Hesabu 20:28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
28 Basi Musa akamuvua Haruni nguo zake na kuzivalisha Eleazari mwana wake. Kisha, Haruni akakufia kule kwenye kichwa cha mulima huo.+ Na Musa na Eleazari wakashuka kutoka kwenye mulima.
-