17 Hautaruhusiwa kula ndani ya miji yako sehemu moja ya kumi (1/10) ya nafaka yako, divai yako mupya, mafuta yako, muzaliwa wa kwanza wa mifugo yako na wa kundi lako,+ matoleo yako yoyote ya naziri yenye unafanyia naziri, matoleo yako ya kujipendea, ao muchango kutoka katika mukono wako.