Mambo ya Walawi 11:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 “Ambia Waisraeli, ‘Hivi ndivyo viumbe vya dunia vyenye munaweza kula:+ 3 Kila munyama mwenye kwato* yenye kupasuka katikati na mwenye mupasuko kamili katika kwato zake na mwenye anacheua anaweza kukuliwa.
2 “Ambia Waisraeli, ‘Hivi ndivyo viumbe vya dunia vyenye munaweza kula:+ 3 Kila munyama mwenye kwato* yenye kupasuka katikati na mwenye mupasuko kamili katika kwato zake na mwenye anacheua anaweza kukuliwa.