- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 11:13-20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        13 “‘Hivi ndivyo viumbe vyenye kuruka vyenye munapaswa kuchukia sana; havipaswe kukuliwa, kwa sababu ni chukizo: tai,+ furukombe, tumbusi mweusi,+ 14 mwewe mwekundu na kila aina ya mwewe mweusi, 15 kila aina ya kunguru, 16 mbuni, bundi, shakwe, kila aina ya kipanga, 17 bundi mudogo, munandi, bundi mwenye masikio ya murefu, 18 bata-maji, mwari, tumbusi, 19 korongo, kila aina ya kulastara, hudihudi, na popo. 20 Kila kiumbe chenye mabawa* chenye kupatikana kwa wingi na chenye kutambaa kwa miguu yote ine (4) ni chukizo kwenu. 
 
-