12 “Wakati utamaliza kutoa+ sehemu moja yote ya kumi (1/10) ya mazao yako katika mwaka wa tatu (3), mwaka wa sehemu moja ya kumi, utapatia sehemu hiyo Mulawi, mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba, na mujane, nao watakula na kushiba katika miji yako.+