Hesabu 28:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 “‘Siku ya matunda ya kwanza yenye kukomaa,+ wakati munamutolea Yehova toleo la nafaka mupya,+ mutafanya mukusanyiko mutakatifu katika sikukuu yenu ya majuma.+ Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.+
26 “‘Siku ya matunda ya kwanza yenye kukomaa,+ wakati munamutolea Yehova toleo la nafaka mupya,+ mutafanya mukusanyiko mutakatifu katika sikukuu yenu ya majuma.+ Hamupaswe kufanya kazi yoyote ya nguvu.+