18 Lakini, Edomu akamuambia, “Usipite katika eneo letu. Ukipita, nitakuja na upanga ili kukutana na wewe.” 19 Basi Waisraeli wakamuambia, “Tutapanda katika barabara kubwa, na kama sisi na mifugo yetu tunakunywa maji yako, tutalipa.+ Hatutaki kitu kingine chochote isipokuwa kupita kwa miguu.”+