Yohana 12:49 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 49 Kwa maana sikusema kwa uamuzi wangu mwenyewe, lakini Baba mwenye alinituma, yeye mwenyewe amenipatia amri juu ya jambo la kusema na la kufundisha.+ Waebrania 1:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Sasa kwenye mwisho wa siku hizi amesema na sisi kupitia Mwana,+ mwenye aliweka kuwa muriti wa vitu vyote,+ na mwenye kupitia yeye alifanya mipangilio ya mambo.*+
49 Kwa maana sikusema kwa uamuzi wangu mwenyewe, lakini Baba mwenye alinituma, yeye mwenyewe amenipatia amri juu ya jambo la kusema na la kufundisha.+
2 Sasa kwenye mwisho wa siku hizi amesema na sisi kupitia Mwana,+ mwenye aliweka kuwa muriti wa vitu vyote,+ na mwenye kupitia yeye alifanya mipangilio ya mambo.*+