Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati huo tulikamata inchi hii: kuanzia Aroeri,+ muji wenye kuwa karibu na Bonde la Arnoni,* na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na miji yake nimeipatia Warubeni na Wagadi.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:47, 48
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 47 Na wakakamata inchi yake na inchi ya Mufalme Ogu+ wa Bashani, wafalme wawili wa Waamori wenye walikuwa katika eneo la upande wa mashariki wa Yordani, 48 kuanzia Aroeri,+ yenye kuwa kwenye mupaka wa Bonde la Arnoni,* kufikia kwenye Mulima Sioni, ni kusema, Hermoni,+

  • Yoshua 13:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Na hiyo nusu ingine ya kabila, na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walikamata uriti wao wenye Musa aliwapatia upande wa mashariki wa Yordani, kama vile Musa mutumishi wa Yehova alikuwa amewapatia:+ 9 kuanzia Aroeri,+ wenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni,*+ na muji wenye kuwa katikati ya bonde hilo, na eneo lote tambarare la juu la Medeba mupaka Diboni;

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine