- 
	                        
            
            Yoshua 13:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
 - 
                            
- 
                                        
8 Na hiyo nusu ingine ya kabila, na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walikamata uriti wao wenye Musa aliwapatia upande wa mashariki wa Yordani, kama vile Musa mutumishi wa Yehova alikuwa amewapatia:+ 9 kuanzia Aroeri,+ wenye kuwa pembeni ya Bonde la Arnoni,*+ na muji wenye kuwa katikati ya bonde hilo, na eneo lote tambarare la juu la Medeba mupaka Diboni;
 
 -