20 Basi wakati baragumu zilipigwa, watu wakafanya makelele.+ Na wakati tu watu walisikia sauti ya baragumu na kufanya makelele makubwa ya vita, ukuta ukaanguka chini.+ Kisha watu wakapanda na kuingia katika muji, kila mutu akaingia moja kwa moja, na wakakamata muji.