-
Kumbukumbu la Torati 20:16-18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Lakini katika miji ya vikundi hivi vya watu, yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti, haupaswe kuacha kitu chochote chenye kupumua kiishi.+ 17 Lakini, unapaswa kuwaharibu kabisa, Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ kama vile Yehova Mungu wako amekuamuru; 18 kusudi wasiwafundishe ninyi kufuata mazoea yao yote yenye kuchukiza yenye wamefanyia miungu yao, na hivyo kuwafanya mumutendee zambi Yehova Mungu wenu.+
-