Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Ukuwe muangalifu ili usifanye agano pamoja na wakaaji wa inchi yenye unaenda ndani yake,+ ili agano hilo lisikuwe mutego kati yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Yehova Mungu wako atawatia katika mukono wako, na utawashinda.+ Unapaswa kuwaharibu kabisa.+ Haupaswe kufanya agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha wema wowote.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:16-18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Lakini katika miji ya vikundi hivi vya watu, yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti, haupaswe kuacha kitu chochote chenye kupumua kiishi.+ 17 Lakini, unapaswa kuwaharibu kabisa, Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ kama vile Yehova Mungu wako amekuamuru; 18 kusudi wasiwafundishe ninyi kufuata mazoea yao yote yenye kuchukiza yenye wamefanyia miungu yao, na hivyo kuwafanya mumutendee zambi Yehova Mungu wenu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine