-
Hesabu 21:33-35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
33 Kisha wakageuka na kupanda kupitia Njia ya Bashani. Na Ogu+ mufalme wa Bashani akatoka pamoja na watu wake wote ili kupigana nao kule Edrei.+ 34 Yehova akamuambia Musa: “Usimuogope,+ kwa maana nitamutia yeye na watu wake wote na inchi yake katika mukono wako,+ na utamutendea kama vile ulimutendea Sihoni mufalme wa Waamori, mwenye aliishi Heshboni.”+ 35 Kwa hiyo wakaendelea kumupiga na kumuua, yeye pamoja na wana wake na watu wake wote, mupaka hapakukuwa hata mumoja wa watu wake mwenye aliokoka,+ na wakakamata inchi yake.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 3:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kwa hiyo Yehova Mungu wetu akamutia pia Mufalme Ogu wa Bashani pamoja na watu wake wote katika mukono wetu, na tukaendelea kumupiga na tukamuua mupaka hapakukuwa mutu katikati ya watu wake mwenye aliokoka.
-