Kumbukumbu la Torati 20:10, 11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 “Kama unakaribia muji ili kupigana nao, utautangazia pia masharti ya amani.+ 11 Kama muji huo unakupatia jibu la amani na unajifungua kwako, watu wote wenye kupatikana kule watakuwa wako kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa, na watakutumikia.+
10 “Kama unakaribia muji ili kupigana nao, utautangazia pia masharti ya amani.+ 11 Kama muji huo unakupatia jibu la amani na unajifungua kwako, watu wote wenye kupatikana kule watakuwa wako kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa, na watakutumikia.+