-
Waamuzi 3:28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
28 Kisha akawaambia: “Munifuate, kwa sababu Yehova ametia maadui wenu, Wamoabu, katika mukono wenu.” Na wakamufuata, wakakamata nafasi za kuvukia za Yordani ili kuzuia Wamoabu, na hawakuruhusu mutu yeyote avuke.
-
-
Waamuzi 12:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Watu wa Gileadi wakakamata nafasi za kuvukia za Yordani+ mbele ya Efraimu; na wakati watu wa Efraimu walikuwa wanajaribu kukimbia, walikuwa wanasema: “Muniache nivuke”; kisha watu wa Gileadi waliuliza kila mumoja wao, “Wewe ni Mwefraimu?” Wakati alisema, “Hapana!”
-