-
Waamuzi 7:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Gideoni akatuma wajumbe katika eneo lote lenye milima la Efraimu, akisema: “Mushuke mushambulie Midiani, na muwazuie wasifike kwenye maji mupaka Bet-bara na Yordani.” Basi watu wote wa Efraimu wakakusanyika pamoja, na wakakamata maji mupaka Bet-bara na Yordani.
-