Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Lakini walikataa kusikiliza hata waamuzi hao na walifanya uasherati na miungu mingine na kuiinamia. Waliacha haraka njia yenye mababu zao walikuwa wametembea ndani yake, wenye walikuwa wametii amri za Yehova.+ Hawakufanya vile.

  • Waamuzi 2:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Lakini wakati muamuzi huyo alikufa, walikuwa wanageuka na kutenda kwa upotovu zaidi kuliko baba zao kwa kufuata miungu mingine, kwa kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakuacha matendo yao na tabia yao ya kuwa kichwa-nguvu.

  • Waamuzi 10:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na wakaanza kutumikia Mabaali,+ sanamu za Ashtoreti, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamuacha Yehova na hawakumutumikia.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine