-
Waamuzi 2:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Lakini walikataa kusikiliza hata waamuzi hao na walifanya uasherati na miungu mingine na kuiinamia. Waliacha haraka njia yenye mababu zao walikuwa wametembea ndani yake, wenye walikuwa wametii amri za Yehova.+ Hawakufanya vile.
-
-
Waamuzi 2:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Lakini wakati muamuzi huyo alikufa, walikuwa wanageuka na kutenda kwa upotovu zaidi kuliko baba zao kwa kufuata miungu mingine, kwa kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakuacha matendo yao na tabia yao ya kuwa kichwa-nguvu.
-