Waamuzi 16:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Kisha wakati fulani ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakashuka kumukamata. Wakamupandisha na kumuzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Na Samsoni alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka makumi mbili (20).+
31 Kisha wakati fulani ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakashuka kumukamata. Wakamupandisha na kumuzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Na Samsoni alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka makumi mbili (20).+