-
Waamuzi 13:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Manoa akamulilia Yehova na kusema: “Ninakuomba Yehova. Tafazali, acha ule mutu wa Mungu wa kweli mwenye ulituma akuje tena ili atufundishe namna tunapaswa kumutendea mutoto mwenye atazaliwa.”
-